Jumatatu, 14 Agosti 2017

NENO LA LEO

NENO LA SIKU 

 *Msifadhaike mioyoni mwenu;* mnamwamini Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
YN. 14:1‭-‬3 SUV

 👉Mwaminini Mungu  tuu atatenda kwa mkono wake mwenyewe

👉Na kwa wakati wake
Acha kufadhaika

👉Acha kulia

👉Acha kukata tamaa

👉NI marufuku kukata tamaa kwa Mwana wa Mungu
👉Yeye ni Yule Jana. . Leo na hata milele
👉Amesema amekwenda kutuandalia makao
👉Naye atakuja kutuchukua

😒Usihofu kwa maana yeye ni baba wa wote
Atakufuta machozi

🚶🏻‍♀Yote unayopitia ni daraja tuu ya kukufikisha kwa Baba
🏃‍♀🏃‍♀Ongeza mwendo
Kama ulikuwa mmoja wapo wa waliochoka

👉Kuna wakati unasema unataka hata kujiua

👉Basi ni wakati wako wa kuamka na kusema
*
#SITAKUFA BALI
#NITAISHI NAMI #NIYASIMULIE #MATENDO #MAKUU YA #BWANA

🤔Usiruhusu kabisa mawazo hayo
👯👯‍♂Simama tena tukapaone alipotuandalia Baba yetu panavyofanana mfano wake unaambiwa hakuna hapa duniani.

😊🤗Haleluyaaaaa🙌🙌

👉Basi Ujumbe wako huo

Maoni 2 :

WOKOVU KATIKA AGANO JIPYA.

SHALOM MPENDWA KATIKA BWANA. Karibu tena katika blog yako pendwa ya UPENDO WORSHIP "UW"  Leo tunaenda kujifunza kuhusu wokovu. ...