Jumapili, 13 Agosti 2017

JINSI YA KUANDIKA MAJINA KIUTAKATIFU

​Tumsifu YESU KRISTO​  Tujifunze jinsi ya kuandika haya majina na utofauti wake,
  1.  ukiandika
          mungu
soma 2korintho 4:4
soma 2wafalme 1:2
       kumbe hapo inamaana shetani
2.  ukiandika
      Mungu au
     MUNGU
soma Yohana 3:16
soma Luka 1:26
     hapo inamaana Muumba mbingu na nchi
3.  ukiandika
    bwana
soma Mathayo 25:5
    kumbe ukiandika herufi ndogo inamaana bwana mume, au bos wako wa kazi
4.  ukiandika
       Bwana au
        BWANA
soma Mathayo 22:37
   hapo ni Mungu mwenyewe
5.  ukiandika
      roho
soma Luka 9:56
hapo maana yake roho yako roho za mashetani
6.  ukiandika
    Roho au
     ROHO
soma Yohana 14:26
  hapo ni Mungu mwenyewe
7.  ukiandika
      yesu
hapo ni bar yesu
  mchawi yule
       matendo 13:6
8.  ukiandika
        Yesu au
        YESU
soma Mathayo 1:16
hivyo kua makini na uandishi wa majina haya barikiwa na Bwana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

WOKOVU KATIKA AGANO JIPYA.

SHALOM MPENDWA KATIKA BWANA. Karibu tena katika blog yako pendwa ya UPENDO WORSHIP "UW"  Leo tunaenda kujifunza kuhusu wokovu. ...