Jumanne, 29 Agosti 2017

SALA KWA WANAFUNZI

Shalooom Mpendwa katika Bwana.
Karibu tena katika Blog yako pendwa ya UPENDO WORSHIP.

SALA KWA WANAFUNZI.

Ni Asubuhi nyingine yenye kujaa Utukufu, Eh Mungu wangu, wewe ndiye mkuu wa wakuu, mfalme wa wafalme, usiyeshindwa na jambo, uketie patakatifu pa patakatifu.

Nashkuru kwakua umenilinda mpaka kufikia mahali hapa nilipo, kwamaana si kwa akili zangu wala nguvu zangu, ila ni kwauwezo wako, baraka zako na upendo wako kwangu, na kwa kila neema uliyonijalia, vinanipa ushindi kila siku ya maisha yangu.

Tazama. Nakuja mbele zako eh Mungu wangu,

 Neno lako lasema
"usiiache elimu ikaenda zake kwa maana ndio uzima wangu. "(Mithali 4:13)
Nami hakika sitaiacha elimu, tazama nami napendezwa na kuyatenda mapenzi yako, kwakuwa nalitimiza hilo.

Pia neno lako lasema
" utanifanya kua kichwa na wala si mkia, nami nitakua juu tu, sitakua chini" (Kumb. la Torati 28:13)
kwakuyatimiza mapenzi yako kwa kuwa sijaiacha elimu, hayo yote hayanabudi kutokea katika maisha yangu, kwakua nitakua kichwa na wala si mkia katika maisha ya elimu yangu.

kupitia hayo, nami nitaishi maisha ya ushindi ya kielimu.

Eh Mungu wangu nakupenda kuliko kituchochote, nitakutukuza na kukuabudu wewe tu, siku zote za maisha yangu.

@servant of Jesus
@Henry Sebastian Kibanga
http://upendoworship.blogspot.co.id/?m=1

Maoni 1 :

  1. Ushuhuda Wangu wa Dhati 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba ndefu, nilivunjika kabisa. Alinifungia kwenye mitandao yote ya kijamii, akasafiri mbali, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Nilikaribia kukata tamaa juu yetu, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitenda.

    Siku moja, bosi wangu kazini aliona jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dk. Dk. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu atanirudia ndani ya siku tatu. Kusema kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao mkubwa zaidi, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa ni yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa wenye nguvu na mzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akinipenda na kunijali sana mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa baada ya miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dk. Dawn, ambaye kwa kweli aliwezesha jambo lisilowezekana. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya mahusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Ugumba au matatizo ya bahati nasibu

    Kesi za mahakama au kurejesha mali


    Dk. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurejesha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta

WOKOVU KATIKA AGANO JIPYA.

SHALOM MPENDWA KATIKA BWANA. Karibu tena katika blog yako pendwa ya UPENDO WORSHIP "UW"  Leo tunaenda kujifunza kuhusu wokovu. ...